Maulizo ya kujikumbusha ya sehemu ya 3
Uzungumuzie hii maulizo na mwalimu wako:
Musome Mezali 27:11.
Juu ya nini unapenda kuwa mushikamanifu kwa Yehova?
(Ona Somo ya 34.)
Nini njo inaweza kukusaidia kukamata maamuzi ya muzuri wakati Biblia haionyeshe waziwazi jambo ya kufanya?
(Ona Somo ya 35.)
Unaweza kufanya nini juu uonyeshe kama uko munyoofu mu mambo yote?
(Ona Somo ya 36.)
Musome Matayo 6:33.
Unaweza kufanya nini juu ya kuonyesha kama ‘kuendelea kutafuta kwanza Ufalme’ njo jambo ya maana zaidi kuliko kazi na makuta?
(Ona Somo ya 37.)
Unaweza kufanya nini juu ya kuonyesha kama unaona uzima sawa vile Yehova anauona?
(Ona Somo ya 38.)
Musome Matendo 15:29.
Unaweza kufanya nini juu ya kuonyesha kama unatii sheria ya Mungu kuhusu damu?
Unawaza kama mambo yenye Mungu anatuomba tufanye inafaa?
(Ona Somo ya 39.)
Musome 2 Wakorinto 7:1.
Tunaweza kufanya nini juu mwili yetu, vitu vyetu, na mwenendo wetu uendelee kuwa safi?
(Ona Somo ya 40.)
Musome 1 Wakorinto 6:9, 10.
Biblia inasema nini juu ya ngono? Unakubali mambo yenye Biblia inasema?
Biblia inasema nini juu ya pombe?
(Ona Somo ya 41 na 43.)
Musome Matayo 19:4-6, 9.
Mungu anatoa kanuni gani juu ya ndoa?
Juu ya nini kuandikisha ndoa na kuvunja ndoa inapaswa tu kufanywa ku serikali?
(Ona Somo ya 42.)
Ni sikukuu gani zenye Yehova hakubali, na juu ya nini?
(Ona Somo ya 44.)
Musome Yohana 17:16 na Matendo 5:29.
Nini njo inaweza kuonyesha kama hauunge mukono upande wowote?
Kama sheria ya serikali inapingana na sheria ya Mungu, utafanya nini?
(Ona Somo ya 45.)
Musome Marko 12:30.
Unaweza kufanya nini juu ya kuonyesha kama unamupenda Yehova?
(Ona Somo ya 46 na 47.)