“Mushangilie Katika Yehova”
ASUBUI
3:40 (9:40) Muziki
3:50 (9:50) Wimbo Na. 9 na Sala
4:00 (10:00) ‘Tushangilie Katika Yehova na Kufurahi’
4:15 (10:15) Tukuwe na Furaha Hata Kama Tunakutana na Magumu
4:30 (10:30) ‘Mujae na furaha’ Katika Kazi ya Kuhubiri
4:55 (10:55) Wimbo Na. 76 na Matangazo
5:05 (11:05) Musiache Mioyo Yenu ‘Ilemewe’
5:35 (11:35) Hotuba ya Ubatizo
6:05 (12:05) Wimbo Na. 51
KISHA MIDI
7:20 (13:20) Muziki
7:30 (13:30) Wimbo Na. 111
7:35 (13:35) Mambo Yenye Wahubiri Walikutana Nayo
7:45 (13:45) Kifupi cha Munara wa Mulinzi
8:15 (14:15) Hotuba Yenye Sehemu Tatu: Yehova Anafanya Tukuwe na Furaha
• Wakati Tunafanya Wanafunzi
• Wakati Tunasaidia Ndugu na Dada Zetu
• Wakati Tunavumilia Magumu
9:00 (15:00) Wimbo Na. 2 na Matangazo
9:10 (15:10) Umuweke Yehova Mbele Yako Kila Wakati
9:55 (15:55) Wimbo Na. 7 na Sala