Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lmd somo 7
  • Kutovunjika Moyo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kutovunjika Moyo
  • Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mambo Yenye Paulo Alifanya
  • Mufano wa Paulo Unatufundisha Nini?
  • Umuige Paulo
  • Unyenyekevu
    Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Kupendezwa na Watu
    Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Uvumilivu
    Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Tuwarudilie Wale Wenye Kupendezwa—Wakati Gani?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
Ona Habari Zaidi
Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
lmd somo 7

KUENDELESHA MAZUNGUMUZO

The apostle Paul sharing the good news with a group of people in a school auditorium.

Mdo. 19:8-10

SOMO YA 7

Kutovunjika Moyo

Kanuni: “Wakaendelea bila kuacha kufundisha na kutangaza habari njema.”​—Mdo. 5:42.

Mambo Yenye Paulo Alifanya

Mutume Paulo iko nahubiria watu mu jumba ya masomo.

VIDEO: Paulo Anavumilia Kule Efeso

1. Angalia VIDEO, ao usome Matendo 19:8-10. Kisha ufikirie maulizo yenye kufuata:

  1. Kuliko kuvunjika moyo wakati watu fulani walimupinga, namna gani Paulo alivumilia na kusaidia watu wenye walipendezwa?

  2. Ni mara ngapi njo Paulo alirudilia wale wenye walipendezwa, na alifanya vile kwa muda gani?

Mufano wa Paulo Unatufundisha Nini?

2. Inaombaka wakati na kujikaza sana juu tupate matokeo ya muzuri wakati tunarudilia watu na wakati tunaanzisha mafunzo ya Biblia.

Umuige Paulo

3. Patanisha programu yako na ya mutu mwenye unahubiria. Ujiulize hivi: ‘Ni wakati gani njo anaweza kufurahia nimutembelee? Ni wakati gani na wapi njo atapenda tuzungumuze naye?’ Ukuwe tayari kumutembelea ile wakati, hata kama haipatane na programu yako.

4. Mupange wakati ya kuonana tena. Ku mwisho wa kila mazungumuzo, mujikaze kupanga siku na saa yenye mutakutana tena. Ufanye yako yote ili uheshimie ile programu.

5. Usivunjike moyo. Usiwaze mara moya kama juu tu haumupatake ule mutu ao juu anakuwaka na mambo mingi ya kufanya maana yake hapendezwe. (1 Ko. 13:4, 7) Kuliko kuwaza vile, ujikaze kuendelea kumutembelea, bila kusahau kama unapaswa kutumia wakati yako kwa hekima.​—1 Ko. 9:26.

ONA PIA

Mdo. 10:42; 1 Ko. 9:22, 23; 2 Ko. 4:1; Gal. 6:9

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine