Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm24 uku. 4-5
  • Siku ya Posho

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Siku ya Posho
  • Programu ya Mukusanyiko wa 2024
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Siku ya Tano
    Programu ya Mukusanyiko wa 2024
  • Siku ya Posho
    Programu ya Mukusanyiko wa 2022
  • Siku ya Posho
    Programu ya Mukusanyiko wa 2021
  • Siku ya Yenga
    Programu ya Mukusanyiko wa 2024
Ona Habari Zaidi
Programu ya Mukusanyiko wa 2024
CO-pgm24 uku. 4-5
Picha: Mambo makubwa ya programu ya Siku ya Posho. 1. Yosefu na Maria pamoya na mutoto Yesu. 2. Mufalme Herode. 3. Ba bibi bawili na ba bwana yabo biko mu mahubiri.

Siku ya Posho

“Mutangaze habari njema za wokovu wake siku kwa siku”—Zaburi 96:2

Asubui

  • 3:20 (9:20) Video ya Muziki

  • 3:30 (9:30) Wimbo Na. 53 na Sala

  • 3:40 (9:40) “Ni Lazima . . . Nitangaze Habari Njema ya Ufalme wa Mungu” (Luka 4:43)

  • 3:50 (9:50) DRAMA:

    Habari Njema Juu ya Yesu: Epizode ya 1

    Mwangaza wa Kweli wa Dunia—Sehemu ya 2 (Matayo 2:1-23; Luka 2:1-38, 41-52; Yohana 1:9)

  • 4:25 (10:25) Wimbo Na. 69 na Matangazo

  • 4:35 (10:35) HOTUBA YENYE SEHEMU SITA: Kutimizwa kwa Unabii Kuhusu Masiya!

    • • Mujumbe Alimutangulia (Malaki 3:1; 4:5; Matayo 11:10-14)

    • • Kuzaliwa na Bikira (Isaya 7:14; Matayo 1:18, 22, 23)

    • • Alizaliwa Betlehemu (Mika 5:2; Luka 2:4-7)

    • • Alilindwa Wakati Alikuwa Mutoto (Hosea 11:1; Matayo 2:13-15)

    • • Aliitwa Munazareti (Isaya 11:1, 2; Matayo 2:23)

    • • Alifika kwa Wakati Wenye Kufaa (Danieli 9:25; Luka 3:1, 2, 21, 22)

  • 5:40 (11:40) HOTUBA YA UBATIZO: Muendelee ‘Kujitiisha kwa Habari Njema’(2 Wakorinto 9:13; 1 Timoteo 4:12-16; Waebrania 13:17)

  • 6:10 (12:10) Wimbo Na. 24 na Mapumuziko

Kisha Midi

  • 7:35 (13:35) Video ya Muziki

  • 7:45 (13:45) Wimbo Na. 83

  • 7:50 (13:50) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Tumia Habari Njema Juu ya Kupinga Habari za Mubaya

    • • Kusema Wengine Mubaya (Isaya 52:7)

    • • Zamiri Yenye Kusumbua (1 Yohana 1:7, 9)

    • • Matukio ya Sasa (Matayo 24:14)

    • • Hali ya Kuvunjika Moyo (Matayo 11:28-30)

  • 8:35 (14:35) HOTUBA YENYE SEHEMU TATU: Tangaza Habari Njema kwa Bidii

    • • Haiko tu Kazi ya Mitume (Waroma 1:15; 1 Watesalonike 1:8)

    • • Tendo ya Ibada (Waroma 1:9)

    • • Ukuwe Tayari na Vifaa Vyenye Kufaa (Waefeso 6:15)

  • 9:15 (15:15) VIDEO: Namna “Habari Njema Inazaa Matunda na Kuongezeka Katika Ulimwengu Wote” (Wakolosai 1:6)

  • 9:40 (15:40) Wimbo Na. 35 na Matangazo

  • 9:50 (15:50) HOTUBA YENYE SEHEMU MBILI: Uendelee Kuhubiri Habari Njema

    • • Fasi Yoyote Kwenye Uko (2 Timoteo 4:5)

    • • Fasi Yoyote Kwenye Mungu Anakuongoza (Matendo 16:6-10)

  • 10:15 (16:15) Utafanya Nini “kwa Ajili ya Habari Njema”?(1 Wakorinto 9:23; Isaya 6:8)

  • 10:50 (16:50) Wimbo Na. 21 na Sala ya Mwisho

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine