Siku ya Yenga
‘Kumuabudu Baba kwa roho na kweli’—Yohana 4:23
Asubui
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 140 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU SITA: Somo Zenye Tunajifunza Kupitia Mambo Yenye Yesu Alisema
• ‘Kuzaliwa kwa Maji na Roho’ (Yohana 3:3, 5)
• “Hakuna Mutu Mwenye Amepanda Mbinguni” (Yohana 3:13)
• ‘Kuja Kwenye Mwangaza’ (Yohana 3:19-21)
• ‘Ni Miye’ (Yohana 4:25, 26)
• ‘Chakula Yangu’ (Yohana 4:34)
• ‘Mashamba Ni Meupe kwa Ajili ya Kuvunwa’ (Yohana 4:35)
5:05 (11:05) Wimbo Na. 37 na Matangazo
5:15 (11:15) HOTUBA YA WATU WOTE: Unaabudu Kile Unajua? (Yohana 4:20-24)
5:45 (11:45) Kifupi ya Munara wa Mulinzi
6:15 (12:15) Wimbo Na. 84 na Mapumuziko
Kisha Midi
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 77
7:50 (13:50) DRAMA:
Habari Njema Juu ya Yesu: Epizode ya 3
‘Ni Miye’ (Yohana 3:1–4:54; Matayo 4:12-20; Marko 1:19, 20; Luka 4:16–5:11)
8:35 (14:35) Wimbo Na. 20 na Matangazo
8:45 (14:45) Umejifunza Nini?
8:55 (14:55) Bakia mu Hekalu Kubwa ya Kiroho ya Yehova! (Waebrania 10:21-25; 13:15, 16; 1 Petro 1:14-16; 2:21)
9:45 (15:45) Wimbo Mupya wa Pekee na Sala ya Mwisho