Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w11 1/1 uku. 30-31
  • Thamini Mambo Matakatifu!

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Thamini Mambo Matakatifu!
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • CHIMBA ZAIDI.
  • Musa Apokea Mgawo wa Pekee
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Ashtakiwa kwa Uwongo!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Waokolewa Kutoka Kwenye Tanuru ya Moto!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Mungu Anayechukia Ukosefu wa Haki
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 1/1 uku. 30-31

Kwa Ajili ya Vijana

Thamini Mambo Matakatifu!

Maagizo: Fanya zoezi hili katika mazingira matulivu. Unaposoma maandiko, jiwazie ukiwa katika matukio yanayozungumziwa. Wazia kikao. Sikia sauti. Hisi kama wahusika wakuu wanavyohisi. Wazia kwamba masimulizi haya ni halisi kabisa.

Wahusika wakuu: Isaka, Rebeka, Yakobo, na Esau

Muhtasari: Esau anamuuzia Yakobo, ndugu yake pacha, haki yake ya kuzaliwa.

➊ CHUNGUZA TUKIO HILI.—SOMA MWANZO 25:20-34.

Esau na Yakobo wanaonyesha sifa gani hata wakiwa bado ndani ya tumbo la uzazi?

․․․․․

Unafikiri Esau na Yakobo walionekana jinsi gani wakiwa vijana?

․․․․․

Unatambua hisia gani katika mazungumzo kati ya Yakobo na Esau kwenye mstari wa 30 mpaka 33?

․․․․․

CHIMBA ZAIDI.

Ukitumia vifaa vya kufanyia utafiti unavyoweza kupata, chunguza kuhusu haki za mtoto wa kwanza wa kiume. Kwa nini haki hizo zilikuwa za maana? Kuuza haki hizo kwa ajili ya bakuli ya mchuzi kulimaanisha nini?

․․․․․

2 ➋ CHUNGUZA TUKIO HILI.—SOMA MWANZO 27:1-10, 30-38.

Unatambua hisia gani katika sauti ya Esau anapogundua kwamba ndugu yake amepokea baraka za mzaliwa wa kwanza? _______

․․․․․

CHIMBA ZAIDI.

Je, ilikuwa ni vibaya kwa Rebeka na Yakobo kupanga njama ili Yakobo apate baraka? Kwa nini unajibu hivyo? (Dokezo: Ona Mwanzo 25:23, 33.)

․․․․․

3 ➌ TUMIA MAMBO ULIYOJIFUNZA. ANDIKA MAMBO ULIYOJIFUNZA KUHUSU . . .

Matokeo mabaya na ya kudumu ya kutosheleza tamaa papo hapo.

․․․․․

NJIA NYINGINE UNAYOWEZA KUTUMIA HABARI HIYO.

Umekabidhiwa mambo gani matakatifu?

․․․․․

Unaweza kuonyesha kwa njia gani hususa kwamba unathamini mambo matakatifu?

․․․․․

4 ➍ NI MAMBO GANI KATIKA SIMULIZI HILI AMBAYO YAMEKUGUSA MOYO SANA, NA KWA NINI?

․․․․․

Ikiwa huna Biblia, waombe Mashahidi wa Yehova wakupe moja, au soma habari zaidi katika intaneti www.watchtower.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine