Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w13 1/10 uku. 16
  • Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Je, Wafu Wana Tumaini Lolote?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Kuko Tumaini Gani Juu ya Watu Wenye Wamekufa?
    Habari Njema Yenye Inatoka kwa Mungu!
  • Ufufuo Ni Nini?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 1/10 uku. 16
[Picha katika ukurasa wa 16]

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Je, kuna tumaini kwa ajili ya watu waliokufa?

Kifo kinafanana na usingizi katika maana ya kwamba watu waliokufa hawajue jambo lolote na hawawezi kufanya kitu chochote. Hata hivyo, Muumbaji wa uzima anaweza kuwarudishia watu waliokufa uzima kupitia ufufuo. Ili kuonyesha jambo hilo, Mungu alimupatia Yesu uwezo wa kufufua watu wengi waliokufa.​—Soma Mhubiri 9:5; Yohana 11:11, 43, 44.

Ni katika maana gani kifo kinafanana na usingizi?

Mungu ameahidi kwamba watu waliokufa ambao wako katika kumbukumbu lake watafufuliwa na kuishi katika dunia mupya yenye haki. Watu ambao watafufuliwa wataendelea kubaki katika kifo mupaka wakati Mungu atawapatia tena uzima. Mungu Mweza-Yote anatamani sana kutumia nguvu zake ili kuwapatia tena uzima watu waliokufa.​—Soma Ayubu 14:14, 15.

Ufufuo utakuwa namna gani?

Wakati Mungu atafufua watu waliokufa, watu hao wataweza kujitambua wenyewe na kutambua marafiki wao, na watu wa familia zao. Hata ikiwa mwili wa mutu aliyekufa unaoza, Mungu anaweza kumufufua mutu yuleyule akiwa na mwili mupya.​—Soma 1 Wakorintho 15:35, 38.

Ni watu wachache ndio wanaofufuliwa ili kuishi mbinguni. (Ufunuo 20:6) Watu wengi watafufuliwa ili kuishi katika dunia iliyofanywa kuwa paradiso. Watu hao wataanza maisha mapya, wakiwa na tumaini la kuishi milele.​—Soma Zaburi 37:29; Matendo 24:15.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 6 na 7 ya kitabu hiki, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza pia kuchukua kitabu hiki kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine