Utangulizi
UNAWAZA NAMNA GANI?
Leo katika dunia, maisha yanaweza kuwa yenye huzuni. Tunaweza kupata wapi musaada na kitulizo cha kweli?
Biblia inasema hivi: ‘Baba ya rehema nyororo na Mungu wa faraja [ao, kitulizo] yote . . . anatufariji katika ziki yetu yote.’—2 Wakorintho 1:3, 4.
Gazeti hili la Munara wa Mulinzi linaonyesha namna Mungu anatutolea kitulizo chenye sisi wote tuko nacho lazima.