Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp17 na. 4 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Biblia inaweza kukusaidia kupambana na mahangaiko?
  • Kuna siku mahangaiko yataisha?
  • Umutupie Yehova Mahangaiko Yako Yote
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Mahangaiko
    Amuka!—2016
  • Unaweza Kufanya Nini Kama Uko na Mahangaiko?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Mahangaiko Juu ya Hatari
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
wp17 na. 4 uku. 16
Familia moja katika Paradiso

Wakati Ufalme wa Mungu utaanza kuwatawala, watu “watapata furaha yao tele katika wingi wa amani.”​—Zaburi 37:11.

Biblia Inasema Nini?

Biblia inaweza kukusaidia kupambana na mahangaiko?

Unaweza kujibu nini?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Pengine

Mambo Biblia inasema

‘Mumutupie [Mungu] mahangaiko yenu yote, kwa sababu yeye anawajali ninyi.’ (1 Petro 5:7) Biblia inakuhakikishia kwamba Mungu anaweza kukusaidia kupata kitulizo wakati unapata mahangaiko.

Biblia inatufundisha tena nini?

  • Kupitia sala, unaweza kupata “amani ya Mungu” yenye inaweza kufanya mahangaiko yakuwe mwepesi.​—Wafilipi 4:6, 7.

  • Tena, kusoma Neno la Mungu kunaweza kukusaidia kupambana na mahangaiko.​—Mathayo 11:28-30.

Kuna siku mahangaiko yataisha?

Watu fulani wanaamini . . . kwamba mahangaiko na mikazo ni mambo ya kawaida katika maisha ya wanadamu, na wengine wanaamini kwamba mahangaiko yanaweza kuisha tu kisha mutu kufa. Wewe unawaza nini?

Mambo Biblia inasema

Mungu atamaliza mambo yote yenye kuleta mahangaiko. “Kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.”​—Ufunuo 21:4.

Biblia inatufundisha tena nini?

  • Wakati Ufalme wa Mungu utaanza kutawala wanadamu, watu wataishi katika amani na utulivu.​—Isaya 32:18.

  • Mahangaiko yenye hayako ya maana yatasahaulika.​—Isaya 65:17.

Ili kupata habari zaidi, ona sura ya 3 ya kitabu hiki, Biblia Inafundisha Kabisa Nini? chenye kuchapishwa na Mashahidi wa Yehova

Kinapatikana pia kwenye www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine