Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp17 na. 6 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Har-Magedoni ni nini?
  • Inawezekana kuokoka vita ya Har-Magedoni?
  • Armagedoni?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Har–Magedoni—Watu Wana Maoni Gani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Armagedoni Ni Habari Njema!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Har–Magedoni Ni Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
wp17 na. 6 uku. 16
‘Umati mukubwa’ wa watu kutoka katika dunia yote unaokoka Har-Magedoni

‘Umati mukubwa’ wa watu kutoka mataifa yote utaokoka Har-Magedoni

Biblia Inasema Nini?

Har-Magedoni ni nini?

Watu fulani wanaamini . . .

kwamba itakuwa kuharibiwa kwa dunia yote kupitia silaha za nyuklia ao kuharibiwa kwa mazingira. Unawaza namna gani?

Mambo Biblia inasema

Har-Magedoni ni mahali pa mufano kwa ajili ya “vita vya ile siku kuu ya Mungu Mweza-Yote,” ni kusema, vita yake zidi ya watu waovu. ​—Ufunuo 16:14, 16.

Biblia inatufundisha tena nini?

  • Mungu hapigani vita ya Har-Magedoni ili kuharibu dunia, lakini anafanya hivyo ili wanadamu wasiiharibu.​—Ufunuo 11:18.

  • Vita ya Har-Magedoni itamaliza vita vyote.​—Zaburi 46:8, 9.

Inawezekana kuokoka vita ya Har-Magedoni?

Unaweza kujibu nini?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Pengine

Mambo Biblia inasema

‘Umati mukubwa’ wa watu kutoka mataifa yote utaokoka ‘ziki kubwa [ao, mateso makubwa],’ ambayo Har-magedoni itakuwa sehemu yake ya mwisho.​—Ufunuo 7:9, 14.

Biblia inatufundisha tena nini?

  • Mungu anapenda watu wengi kadiri inawezekana waokoke Har-Magedoni. Atalazimika kuua waovu kama tu hawabadilike.​—Ezekieli 18:32.

  • Biblia inaonyesha namna ya kuokoka Har-Magedoni.​—Sefania 2:3.

Ili kupata habari zaidi, ona sura ya 8 ya kitabu hiki, Biblia Inafundisha Kabisa Nini? chenye kuchapishwa na Mashahidi wa Yehova

Kinapatikana pia kwenye www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine