Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 10/01 uku. 8
  • Wewe Unakula Vizuri Kiroho Kadiri Gani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Wewe Unakula Vizuri Kiroho Kadiri Gani?
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2001
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Unapata Chakula “kwa Wakati Unaofaa”?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Mutumwa Muaminifu na Mwenye Busara Ni Nani?
    Ni Nani Wanafanya Mapenzi ya Yehova Leo?
  • Unaweza Kuwa na Furaha ya Kweli
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Ujikaze Kupata Mambo ya Mupya Wakati Uko Najifunza
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
Huduma Yetu ya Ufalme—2001
km 10/01 uku. 8

Wewe Unakula Vizuri Kiroho Kadiri Gani?

1 Inasemwa kwamba ‘mtu ni kula.’ Kwa kweli, mazoea yetu ya kula huwa na uvutano juu ya nguvu na afya yetu ya kimwili. Kwa kuwa Yesu alisema: “Binadamu lazima aishi, si kwa mkate pekee, bali kwa kila tamko linalokuja kupitia kinywa cha Yehova,” mazoea yetu ya kula kiroho pia huwa na uvutano mzuri au mbaya juu yetu. (Mt. 4:4) Kwa hiyo, basi, wewe unakula vizuri kiroho kadiri gani? Je, wewe ni mwenye kuchagua-chagua chakula? Je, unakula haraka-haraka? Au, je, unafurahia kuchukua wakati ili kula vyakula vya kiroho vilivyo vya kawaida, vyenye usawaziko, na vyenye kujenga?

2 Changanua Chakula Chako: Yehova anatoa ‘chakula kwa wakati wenye kufaa’ na “karamu ya vitu vya kunona,” kupitia “mtumwa mwaminifu na mwenye busara.” (Mt. 24:45; Isa. 25:6) Ili kufaidika kikamili na maandalizi hayo yenye upendo, tunapaswa kufanya jitihada ili kula vizuri kiroho.

3 Unaweza kujiuliza: ‘Je, ninasoma andiko la siku na maelezo yake kila siku? Je, ninasoma na kutafakari juu ya Biblia kila siku? Je, ninajitayarisha kwa ajili ya mikutano ya kutaniko kwa kusoma habari kimbele? Je, nimemaliza kusoma vichapo vyetu vya karibuni zaidi, kutia ndani yale mabuku mawili ya Unabii wa Isaya​—Nuru kwa Wanadamu Wote?’

4 Yesu aliahidi: “Wenye furaha ni wale wenye kuona uhitaji wao wa kiroho . . . Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa wao watashibishwa.” (Mt. 5:​3, 6) Kwa hiyo, kula vizuri kiroho kwa kufanya ujuzi wa Mungu ujae katika akili yako na moyo wako.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine