Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 11/10 uku. 8
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 11/10 uku. 8

Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Mnara wa Mlinzi 01/11/10

“Je, unafikiri kwamba malaika wanapendezwa na mambo tunayofanya? [Acha mutu ajibu.] Biblia inasema maneno haya yenye kupendeza. [Soma Luka 15:10.] Habari hii inazungumzia yale ambayo Yesu alisema kuhusu jinsi viumbe vya kiroho vinavyojihusisha katika maisha yetu.” Onyesha habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 16.

Amkeni! Mwezi wa 11

Soma 2 Timotheo 3:16. Kisha sema hivi: “Je, unakubali kabisa kwamba tunaweza kuamini kila jambo ambalo Biblia inasema? [Acha mutu ajibu.] Habari hii inaeleza ikiwa mambo ya akiolojia na historia yanapatana na yale ambayo Biblia inafundisha kuhusu Misri ya zamani.” Onyesha habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 15.

Mnara wa Mlinzi 01/12/10

“Watu wengi wanaamini kwamba kuna viumbe vyenye akili katika makao ya roho ambavyo vinajihusisha katika maisha yetu. Wewe unafikiri nini? [Acha mutu ajibu. Kisha soma Ufunuo 12:7-9.] Gazeti hili linaonyesha yale ambayo Biblia inasema kuhusu viumbe vya kiroho, jinsi vinavyojihusisha katika maisha yetu, na ikiwa tunaweza kupashana habari navyo.”

Amkeni! Mwezi wa 12

“Je, umekwisha kujiuliza kwa nini watu wanaazimisha Noeli, yaani kuzaliwa kwa Yesu, tarehe 25 mwezi wa 12 ijapokuwa Biblia haionyeshi tarehe ambayo Yesu alizaliwa? [Acha mutu ajibu.] Kwa kufikiria mawazo ya andiko hili, Yesu hakuzaliwa wakati wa baridi kali. [Soma Luka 2:8.] Gazeti hili linazungumzia jinsi desturi fulani zinazohusiana na Noeli zilivyoanza.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine