Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 11/15 uku. 3
  • Tunapaswa Kujitayarisha ili Tufundishe Muzuri

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tunapaswa Kujitayarisha ili Tufundishe Muzuri
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ujitayarishe Vizuri Ili Kufundisha
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Kuongoza Mafunzo ya Biblia Yenye Maendeleo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • Kuongoza Mafunzo ya Biblia Yenye Maendeleo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2005
  • Namna ya Kusaidia Wanafunzi wa Biblia Wafikie Kubatizwa—Sehemu ya Kwanza
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 11/15 uku. 3

Tunapaswa Kujitayarisha ili Tufundishe Muzuri

Kwa karibu mara mbili, watu walimuuliza Yesu kuhusu uzima wa milele, lakini alijibia kila mutu kulingana na mahitaji yake. (Lu. 10:25-28; 18:18-20) Kwa hiyo, hata kama tunajua muzuri mambo yenye kuwa katika kichapo cha funzo, tunapaswa kujitayarisha mbele ya wakati tukifikiria mahitaji ya mwanafunzi. Ni mambo gani mwanafunzi anaweza kuwa na magumu ya kuelewa ao kukubali? Tutasoma naye maandiko gani? Tutajifunza naye mafungu ngapi? Tunaweza kutayarisha mufano, mafasirio, ao maulizo fulani ili kumusaidia mwanafunzi aelewe muzuri kabisa habari hiyo. Zaidi ya hilo, kwa sababu Yehova ndiye anakomalisha mbegu ya kweli katika moyo wa mutu, tunapaswa kumuomba atubariki wakati tunajitayarisha kwa ajili ya funzo, abariki mwanafunzi, na atupatie uwezo wa kumusaidia kiroho.—1 Kor. 3:6; Yak. 1:5.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine