UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 26-33
Umutegemee Yehova ili Usikuwe na Woga
Daudi alikumbuka namna Yehova alimuokoa mara nyingi; hilo lilimusaidia asikuwe na woga
Yehova alimuokoa kijana Daudi ili simba isimurarue
Yehova alimusaidia Daudi kuua dubu ili kulinda kundi lake
Yehova alimusaidia Daudi kuua Goliathi
Kama Daudi, ni nini itatusaidia tusikuwe na woga?
Sala
Mahubiri
Mikutano
Funzo la pekee na ibada ya familia
Kutia wengine moyo
Kukumbuka namna Yehova ametusaidia