UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 17-21
Kubali Yehova Afinyange Mawazo na Mwenendo Wako
Kubali Yehova akufinyange
Kupitia mashauri na nizamu, Yehova anatufinyanga ili sifa zetu za kiroho zikuwe muzuri zaidi
Tunapaswa kuwa watiifu na kukubali kufinyangwa
Yehova hatulazimishe kufanya mambo yenye hatupendi
Mufinyanzi anaweza kuamua kubadilisha chombo fulani cha udongo na kukifanya kuwa kingine
Kwa sababu Yehova ametupatia uhuru wa kuchagua, tunaweza kuamua kukubali ao kukataa atufinyange
Yehova anabadilisha namna ya kutendea watu wake kulingana na namna wanawanapokea muongozo wake