UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 25-28
Ukuwe na Ujasiri Kama Yeremia
Yeremia alionya watu kwamba muji wa Yerusalemu utashambuliwa kama Shilo
Kwanza, Sanduku la agano, lenye lilionyesha kuwapo kwa Yehova, lilikuwa Shilo
Kisha, Yehova aliruhusu Wafilisti walinyanganye, na halikurudi tena Shilo
Makuhani, manabii, na watu wote walijaribu kumuogopesha Yeremia kwamba watamuua
Watu walimukamata Yeremia kwa sababu ya mambo yenye alitabiri juu ya Yerusalemu na hekalu
Yeremia hakuvunjika moyo na hakukimbia
Yehova alimulinda Yeremia
Yeremia aliendelea kuwa na ujasiri, na Yehova aliendelea kuwa pamoja naye
Mungu alichochea Ahikamu amulinde nabii Yeremia bila kuogopa
Yeremia aliweza kuhubiri kwa miaka 40 ujumbe wenye haukupendeza watu wengi kwa sababu Yehova alimutegemeza na kumutia moyo