UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 28-31
Yehova Analipa Taifa la Wapagani
Yehova alilipa taifa la wapagani kwa kazi yenye walimufanyia; kwa hiyo ni wazi kama atabariki kwa njia kubwa zaidi watumishi wake washikamanifu kwa kazi yenye wanamufanyia!
KAZI YENYE WABABILONI WALIFANYA
Walikamata muji wa Tiro
KAZI ZENYE NINAFANYA
Ninapigana vita gani ya kiroho?
MAGUMU YENYE WALIPATA
Iliwaomba miaka 13 ili kukamata muji wa Tiro
Askari Wababiloni waliteseka sana
Wababiloni hawakulipwa
MAGUMU YENYE NINAPATA
Nimejinyima mambo gani ili nifanye kazi ya Yehova?
NAMNA YEHOVA ALILIPA WABABILONI
Yehova aliwapatia Misri
NAMNA YEHOVA ANANIBARIKI
Yehova ananibariki namna gani?