Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 8 uku. 3
  • Yehova Analipa Taifa la Wapagani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Analipa Taifa la Wapagani
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Anabariki Wale Wenye Kumutafuta Kwa Bidii
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Unabii juu ya Tiro Unatia Nguvu Imani Yetu Katika Neno la Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Je, Utajitoa kwa Ajili ya Ufalme?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Mataifa “Yatalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 8 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 28-31

Yehova Analipa Taifa la Wapagani

29:18-20

Yehova alilipa taifa la wapagani kwa kazi yenye walimufanyia; kwa hiyo ni wazi kama atabariki kwa njia kubwa zaidi watumishi wake washikamanifu kwa kazi yenye wanamufanyia!

KAZI YENYE WABABILONI WALIFANYA

Walikamata muji wa Tiro

Askari Wababiloni wanakamata muji wa Tiro

KAZI ZENYE NINAFANYA

Ninapigana vita gani ya kiroho?

MAGUMU YENYE WALIPATA

  • Iliwaomba miaka 13 ili Wababiloni wakamate muji wa Tiro

    Iliwaomba miaka 13 ili kukamata muji wa Tiro

  • Askari Wababiloni waliteseka sana

    Askari Wababiloni waliteseka sana

  • Wababiloni hawakulipwa

    Wababiloni hawakulipwa

MAGUMU YENYE NINAPATA

Nimejinyima mambo gani ili nifanye kazi ya Yehova?

NAMNA YEHOVA ALILIPA WABABILONI

Yehova aliwapatia Misri

A box of treasures

NAMNA YEHOVA ANANIBARIKI

Yehova ananibariki namna gani?

Andika andiko la Biblia lenye kufaa mahali penye palitayarishwa.

  • Rut 2:12

  • Mal 3:16

  • Ebr 6:10

  • ‘Mungu hakose kuwa muadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mulioonyesha kwa ajili ya jina lake.’

  • ‘Yehova na akupe sawabu kwa sababu ya jinsi unavyotenda, na upate malipo kamili kutoka kwa Yehova.’

  • ‘Kitabu cha kumbukumbu kikaanza kuandikwa mbele zake kwa ajili ya wale wenye kumuogopa Yehova na kwa ajili ya wale wanaolifikiria jina lake.’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine