Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 8 uku. 2
  • Tuonyeshe Sifa Zenye Kumupendeza Mungu—Unyenyekevu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuonyeshe Sifa Zenye Kumupendeza Mungu—Unyenyekevu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Anaona Watumishi Wake Wanyenyekevu Kuwa wa Maana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Yesu Alituachia Mufano Wa Unyenyekevu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Usijifikirie Mwenyewe Sana Kuliko Vile Inaomba Kufikiri
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Jivikeni Unyenyekevu
    Huduma Yetu ya Ufalme—2003
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 8 uku. 2

MAISHA YA MUKRISTO

Tuonyeshe Sifa Zenye Kumupendeza Mungu​—Unyenyekevu

SABABU GANI NI JAMBO LA LAZIMA:

  • Unyenyekevu unafanya tukuwe marafiki wa sana pamoja na Yehova.​—Zab 138:6

  • Unyenyekevu unafanya tuishi muzuri pamoja na wengine.​—Flp 2:3, 4

  • Kiburi kinaleta matokeo ya mubaya. ​—Met 16:18; Eze 28:17

NAMNA YA KUFANYA:

  • Uombe mashauri na uitumikishe. ​—Zab 141:5; Met 19:20

  • Fanyia wengine kazi za hali ya chini. ​—Mt 20:25-27

  • Usiache mapendeleo yako ao uwezo wako mbalimbali ukuletee kiburi.​—Rom 12:3

A brother cleans the bathroom at a Kingdom Hall

Ninapaswa kuonyesha unyenyekevu zaidi katika mambo gani?

MUANGALIE VIDEO EPUKA MAMBO YENYE KUHARIBU USHIKAMANIFU​—KIBURI, KISHA MUJIBIE MAULIZO HAYA:

  • Namna tunatenda wakati tunashauriwa inaonyesha nini juu yetu?

  • Namna gani sala inatusaidia tuonyeshe unyenyekevu?

  • Ni katika njia gani mbalimbali tunapaswa kuonyesha unyenyekevu?

MUFANO WA BIBLIA WA KUFIKIRIA:

Kati ya watu wote wenye wameishi mu dunia,

Yesu ndiye mukubwa zaidi. Hata hivyo, alitumikia wengine kwa unyenyekevu. ​—Mt 20:28; Yoh 13:3-5, 14, 15.

Ujiulize: ‘Namna gani ninaweza kuiga unyenyekevu wa Yesu?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine