MAISHA YA MUKRISTO
Tuonyeshe Sifa Zenye Kumupendeza Mungu—Unyenyekevu
SABABU GANI NI JAMBO LA LAZIMA:
- Unyenyekevu unafanya tukuwe marafiki wa sana pamoja na Yehova.—Zab 138:6 
- Unyenyekevu unafanya tuishi muzuri pamoja na wengine.—Flp 2:3, 4 
- Kiburi kinaleta matokeo ya mubaya. —Met 16:18; Eze 28:17 
NAMNA YA KUFANYA:
- Uombe mashauri na uitumikishe. —Zab 141:5; Met 19:20 
- Fanyia wengine kazi za hali ya chini. —Mt 20:25-27 
- Usiache mapendeleo yako ao uwezo wako mbalimbali ukuletee kiburi.—Rom 12:3 
Ninapaswa kuonyesha unyenyekevu zaidi katika mambo gani?
MUANGALIE VIDEO EPUKA MAMBO YENYE KUHARIBU USHIKAMANIFU—KIBURI, KISHA MUJIBIE MAULIZO HAYA:
- Namna tunatenda wakati tunashauriwa inaonyesha nini juu yetu? 
- Namna gani sala inatusaidia tuonyeshe unyenyekevu? 
- Ni katika njia gani mbalimbali tunapaswa kuonyesha unyenyekevu?