Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 1 uku. 6
  • Yesu Alipenda Watu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yesu Alipenda Watu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 1 uku. 6
Yesu anaponyesha mutu mwenye ukoma

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 8-9

Yesu Alipenda Watu

Sura ya 8 na ya 9 ya kitabu cha Mathayo zinazungumuzia sehemu fulani ya kazi ya Yesu ya kuhubiri katika eneo la Galilaya. Wakati Yesu aliponyesha watu, alionyesha nguvu yake, lakini jambo la maana zaidi, alionyesha kama aliwapenda sana watu na alijitia kabisa pa nafasi yao.

  1. Miji ya Galilaya kwenye Yesu aliponyesha watu

    Yesu aliponyesha mutu mwenye ukoma.​—Mt 8:1-3

  2. Yesu aliponyesha mutumishi wa mukubwa wa jeshi.​—Mt 8:5-13

    Aliponyesha mama-mukwe wa Petro.​—Mt 8:14, 15

    Alifukuza mapepo na kuponyesha watu wenye walikuwa wanateseka.​—Mt 8:16, 17

  3. Yesu alifukuza mapepo wakali sana, na akawatuma katika kundi la nguruwe.​—Mt 8:28-32

  4. Yesu aliponyesha mutu mwenye kupooza.​—Mt 9:1-8

    Aliponyesha mwanamuke mwenye aligusa nguo yake, na alifufua mutoto wa Yairo.​—Mt 9:18-26

    Aliponyesha wanaume wawili vipofu na bubu mumoja. ​—Mt 9:27-34

  5. Yesu alizunguka katika miji na vijiji, na kuponyesha kila namna ya ugonjwa na ulemavu.​—Mt 9:35, 36

Namna gani ninaweza kuonyesha upendo mukubwa zaidi kwa watu na kujitia pa nafasi yao?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine