Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 2 uku. 2
  • Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sikiliza na Uelewe Maana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Mifano Mbalimbali Kuhusu Ufalme
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
  • Mifano Yenye Inafundisha
    Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha
  • “Umutumainie Yehova Mungu Wako”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 2 uku. 2

MAISHA YA MUKRISTO

Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu

Yesu alitumia mifano yenye kuwa mepesi ili kufundisha mambo mazito ya kiroho. Lakini, ni watu wanyenyekevu tu ndio walitafuta kujua maana ya mifano hiyo na namna ya kuitumikisha. (Mt 13:10-15) Kuhusu kila mufano, mujibie maulizo haya: Mufano huu unaweza kunisaidia namna gani? Unanichochea kufanya nini?

Mbegu ya haradali, chachu, hazina, mufanyabiashara mwenye kusafiri

UFALME WA MBINGUNI NI KAMA . . .

  • “mbegu ya haradali.”​—Mt 13:31, 32; w14 15/12 uku. 8 fu. 9.

  • “chachu.”​—Mt 13:33; w14 15/12 uku. 9-10 fu. 14-15.

  • “hazina” na ‘mufanyabiashara mwenye kusafiri.’​—Mt 13:44-46; w14 15/12 uku. 10 fu. 18.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine