Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 2 uku. 5
  • Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • ‘Ni Nani kwa Kweli Mutumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Anatumia Mikate Tano na Samaki Wawili ili Kukulisha Maelfu ya Watu
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
  • “Mukumbuke Wale Wenye Wanaongoza Kati Yenu”
    Tengenezo Yenye Kufanya Mapenzi ya Yehova
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 2 uku. 5
Wanafunzi wa Yesu wanalisha kikundi kikubwa cha watu

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 14-15

Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache

Mbele tu ya Pasaka ya mwaka wa 32, Yesu alifanya muujiza. Ndiyo muujiza moja wenye Injili zote ine zinazungumuzia.

Kupitia muujiza huo, Yesu alianzisha njia yenye anaendelea kutumia mupaka leo.

14:16-21

  • Yesu aliomba wanafunzi wake wapatie kikundi cha watu chakula, hata kama walikuwa tu na mikate tano na samaki mbili

  • Yesu alikamata mikate na samaki, akasali, kisha akaanza kuigawia wanafunzi wake, nao wakaigawia kikundi cha watu

  • Kwa muujiza, chakula kikaongezeka na kila mutu akakula. Yesu alilisha maelfu ya watu kupitia wachache, ni kusema, wanafunzi wake

    Yesu anagawia wanafunzi wake mikate; gazeti Munara wa Mulinzi
  • Yesu alisema kama katika siku za mwisho, atafanya njia ya kutoa ‘chakula cha kiroho kwa wakati unaofaa.’​—Mt 24:45

  • Katika mwaka wa 1919, Yesu aliweka ‘mutumwa muaminifu na mwenye busara,’ kikundi kidogo cha ndugu watiwa-mafuta, juu ya “watumishi wake,” wale wenye kupewa chakula

  • Kupitia kikundi hicho kidogo cha ndugu watiwa-mafuta, Yesu anaendelea kufuata njia yenye alianzisha wakati wa mitume

Namna gani ninaweza kuonyesha kama ninakubali na kuheshimia njia yenye Yesu anatumia leo ili kutolea watu chakula cha kiroho?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine