Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 3 uku. 6
  • Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tuonyeshe Wanafunzi Wetu Namna ya Kujitayarisha

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tuonyeshe Wanafunzi Wetu Namna ya Kujitayarisha
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna ya Kusaidia Wanafunzi wa Biblia Wafikie Kubatizwa—Sehemu ya Kwanza
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Kuongoza Mafunzo ya Biblia Yenye Maendeleo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2005
  • Kuongoza Mafunzo ya Biblia Yenye Maendeleo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • Namna Kutaniko Linaweza Kusaidia Wanafunzi wa Biblia Wafikie Kubatizwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 3 uku. 6

MAISHA YA MUKRISTO

Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri Tuonyeshe Wanafunzi Wetu Namna ya Kujitayarisha

SABABU GANI NI LAZIMA: Kama wanajitayarisha, wanafunzi wa Biblia wanaweza kuelewa muzuri zaidi na kukumbuka mambo yenye tunawafundisha. Kadiri wanaelewa na kukumbuka, watafanya maendeleo haraka. Hata kisha kubatizwa, wanapaswa kuendelea kujitayarisha kwa ajili ya mikutano na mahubiri ili ‘waendelee kukesha.’ (Mt 25:13) Kwa hiyo, kama wanajua namna ya kujifunza na kama wako na programe muzuri ya funzo, hilo litawaletea faida maisha yao yote. Tangu mwanzo, tunapaswa kusaidia wanafunzi wetu wa Biblia wazoee kujitayarisha.

NAMNA YA KUFANYA:

  • Ndugu anafikiria mahitaji ya mwanafunzi wake wakati anajitayarisha

    Ukuwe mufano muzuri. (Rom 2:21) Fikiria mahitaji ya mwanafunzi wako kila mara wakati unajitayarisha. (km 11/15 uku. 3) Umuonyeshe namna umetayarisha katika kichapo chako

  • Ndugu anaonyesha mwanafunzi wake namna ametayarisha katika kichapo chake

    Umutie moyo ajitayarishe. Wakati funzo linaanza kabisa, umuonyeshe kama kujitayarisha ni sehemu ya funzo la Biblia, na umuonyeshe faida ya kujitayarisha. Umuonyeshe namna anaweza kupata wakati wa kujitayarisha. Wakati wa funzo, walimu fulani wanapatia mwanafunzi kichapo chao chenye wametayarisha muzuri ili kumusaidia aone faida ya kujitayarisha. Kama alijitayarisha, umupongeze

  • Umuonyeshe namna ya kujitayarisha. Wakati tu wanaanza kujifunza na mutu, walimu fulani wanatumia wakati wote wa funzo ili kumuonyesha namna ya kujitayarisha

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine