Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 10 uku. 2
  • Yesu Anahangaikia Kondoo Wake

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yesu Anahangaikia Kondoo Wake
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ‘Aliyepotea Nitamutafuta’
    Umurudilie Yehova
  • Muchungaji Mwema na Mazizi ya Kondoo
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 10 uku. 2

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YOHANA 9-10

Yesu Anahangaikia Kondoo Wake

10:1-5, 11, 14, 16

Uhusiano kati ya muchungaji na kondoo wake unategemea ujuzi na kuaminiana. Yesu, Muchungaji Mwema, anajua mahitaji, uzaifu, na uwezo wa kila kondoo wake. Kondoo wanamujua na kumuamini muchungaji wao.

Namna gani Yesu, Muchungaji Mwema . . .

  • anakusanya kondoo wake?

  • anaongoza kondoo wake?

  • analinda kondoo wake?

  • analisha kondoo wake?

Muchungaji analinda mulango wa kundi la kondoo

MAMBO YA KUFIKIRIA: Namna gani ninaweza kuonyesha shukrani kwa uchungaji wa Yesu?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine