Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 1 uku. 6
  • Paulo Anaenda Roma

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Paulo Anaenda Roma
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Paulo Anapelekwa Roma
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • “Hakuna Hata Mumoja Wenu Mwenye Atapotea”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
  • “Kutoa Ushahidi Kamili”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
  • Ukuwe Hodari​—Yehova Ni Musaidizi Wako
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 1 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 27-28

Paulo Anaenda Roma

27:23, 24; 28:1, 2, 16, 17

Paulo hakuacha hata kidogo kuhubiri hata kama alikuwa mufungwa. Wakati walikuwa mu mashua, alihubiria wenye kuongoza mashua na wenye walisafiri naye. Kisha mashua kuvunjika kule Malta, alihubiria habari njema watu wenye aliponyesha. Siku tatu tu kisha kufika Roma, aliita wanaume wenye kuwa na cheo kati ya Wayahudi juu awahubirie. Na mu miaka mbili yenye alipitisha mu nyumba ya kifungo, alihubiria watu wote wenye walikuja kumuangalia.

Unaweza kufanya nini juu uhubiri wakati mambo sawa vile magonjwa, kifungo, ao uzee inakuzuia kufanya vile?

Paulo anatolea ushahidi wanaume wenye vyeo wa Wayahudi kule Roma wakati wanamufungia ku munyororo moja na askari; njia yenye Paulo alifuata kutoka Kaisaria kuenda Roma
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine