UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 1 WAKORINTO 7-9
Faida ya Kubakia Bila Kuoa ao Kuolewa
Wakristo mingi wamefikia kutambua kama kubakia bila kuoa ao kuolewa kuko na faida. Kunapatia mutu nafasi ya kufanya mambo mingi mu kazi ya Yehova, kufanya urafiki na watu mingi, na kumukaribia Yehova zaidi.
wanaenda hubiri mu Australie, mu 1937; mwanafunzi wa Gileadi anafika mu mugao wake kule Mexique, mu 1947
anahubiri mu Brésil; wanahuzuria Masomo kwa Ajili ya Waeneza-Injili wa Ufalme mu Malawi
MAMBO YA KUFIKIRIA: Kama hauyaoa ao kuolewa, namna gani unaweza kutumia muzuri kabisa hali yako?
Wengine mu kutaniko wanaweza kufanya nini juu ya kutia moyo na kutegemeza ndugu na dada wenye hawayaoa ao kuolewa?