Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 3 uku. 2
  • Mungu Anamujaribu Abrahamu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Anamujaribu Abrahamu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kwa Nini Mungu Alimwambia Abrahamu Amdhabihu Mwana Wake?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Imani Yake Inajaribiwa
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Yehova Alimuita “Rafiki Yangu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Abrahamu Alikuwa Nani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 3 uku. 2

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 22-23

Mungu Anamujaribu Abrahamu

22:1, 2, 9-12, 15-18

Maumivu yenye Abrahamu alisikia wakati alikuwa anajitayarisha kumutoa mwana wake, inatusaidia kuelewa maumivu yenye Yehova alisikia wakati alitoa Mwana wake, Yesu Kristo, kuwa bei ya ukombozi. (Yoh 3:16) Mustari wa 2 unatufundisha nini juu ya Yehova?

Picha: 1. Abrahamu anakamata kisu na iko anaangalia juu mbinguni wakati Isaka analala kwenye mazabahu. 2. Yesu iko kwenye muti wa mateso.

Upendo wa Yehova unakuchochea kufanya nini?​—1Ko 6:20; 1Yo 4:11

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine