UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 19-20
Namna Zile Amri Kumi Zinakuhusu
Wakristo hawako chini ya Sheria ya Musa. (Kol 2:13, 14) Sasa, zile Amri Kumi na amri zingine za Sheria ya Musa zinatuletea faida gani leo?
Zinaonyesha namna Yehova anaona mambo fulani
Zinaonyesha mambo yenye tunapaswa kufanya ili kumufurahisha Yehova
Zinaonyesha namna tunapaswa kutendea wengine
Zile Amri Kumi zinakufundisha nini juu ya Yehova?