Kuhani mukubwa anaingia Patakatifu Zaidi
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Mungu anaona namna gani watu wenye wanapenda kabisa kuwa marafiki wake?
Andiko: 1Pe 5:6, 7
Ulizo la Kuachia Mutu: Ni nini inaonyesha kama Mungu anahangaikia sana kila mutu?
○● KUMURUDILIA MUTU
Ulizo: Ni nini inaonyesha kama Mungu anahangaikia sana kila mutu?
Andiko: Mt 10:29-31
Ulizo la Kuachia Mutu: Juu ya nini tunaweza kusema kama Mungu anatuelewa muzuri?