Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 11 uku. 3
  • Kusudi ya Matoleo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kusudi ya Matoleo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mambo Tunayojifunza Kutokana na ‘Picha ya ile Kweli’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 11 uku. 3
Picha: 1. Ngombe, kondoo, na mbuzi za kutolewa ku mazabahu. 2. Yesu kwenye muti wa mateso.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MAMBO YA WALAWI 1-3

Kusudi ya Matoleo

1:3; 2:1, 12; 3:1

Zabihu ao matoleo yenye Sheria ya Musa iliomba Waisraeli watoe, ilikuwa inamufurahisha Yehova na ilikuwa inafananisha Yesu na zabihu ya ukombozi ao baraka zenye ile zabihu ingeletea watu.​—Ebr 8:3-5; 9:9; 10:5-10.

  • Vile tu wanyama wote wenye walipaswa kutolewa walipaswa kuwa safi na bila kilema, na njo vile Yesu alitoa mwili wake wenye kukamilika na wenye haukukuwa na kilema.​—1Pe 1:18, 19; ona picha ku ukurasa wa kwanza

  • Vile tu matoleo ya kuteketezwa ilitolewa yote ya muzima kwa Mungu, na njo vile Yesu alijitoa kikamili kwa Yehova

  • Vile tu wale wenye walitoa zabihu ya ushirika walikuwa na amani pamoja na Mungu, na njo vile watiwa mafuta wenye wanatumia Chakula cha Mangaribi cha Bwana wako na amani pamoja na Mungu

Ndugu mutiwa-mafuta anakula mukate kwenye Chakula cha Mangaribi cha Bwana.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine