UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Sheria Ilionyesha Kama Yehova Alihangaikia Wanamuke
Mu mwaka yao ya kwanza ya ndoa, bwana alibakia na bibi yake bila kuenda ku vita (Kum 24:5; it-1-F uku. 874 fu. 4)
Mahitaji ya kimwili ya wajane ilihangaikiwa (Kum 24:19-21; it-1-F uku. 994 fu. 8)
Wajane wenye hawakukuwa na watoto, walipewa nafasi ya kupata watoto (Kum 25:5, 6; w11-SW 1/3 uku. 23)
UJIULIZE HIVI: ‘Namna gani ninaweza onyesha kama ninahangaikia na kuheshimia wanamuke mu familia na mu kutaniko yangu?’