UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Kujikaza kwa Moyo Wote Kunaletaka Baraka Mingi
Elisha aliomba Mufalme Yehoashi afanye jambo fulani ili kuonyesha namna Waisraeli wangeshinda Wasiria (2Fa 13:15-18)
Juu Yehoashi hakutenda kwa moyo wote, hakupata ushindi mukubwa (2Fa 13:19; w10-SW 15/4 uku. 26 fu. 11)
Yehova anakuwaka anabariki sana watumishi wake wenye wanamutafuta kwa moyo wote (Ebr 11:6; w13 1/11 uku. 11 fu. 5-6)
UJIULIZE HIVI: ‘Namna gani ninaonyeshaka kama ninajikaza kwa moyo wote mu mambo yenye kuhusu ibada yangu, sawa vile kusoma Biblia, kuhuzuria mikutano, na kuhubiri?’