UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Endelea Kuwa na Furaha Hata Kama Hauwezi Kufanya Mambo Yenye Ungependa
Daudi alipenda sana kumujengea Yehova hekalu ya muzuri (1Ny 17:1, 2; w06-SW 15/7 uku. 19 fu. 1)
Yehova alimuambia Daudi kama haiko yeye njo angejenga hekalu (1Ny 17:4)
Daudi aliendelea kutumika sana kazi yenye Yehova alimupatia (1Ny 17:7; 18:14)
Kama hauwezi kutumikia mugao fulani kwa sababu ya miaka, afya ao mambo ingine, endelea kufanya kwa bidii mambo yenye unaweza.—Mdo 18:5; w21.08 uku. 22-23 fu. 11.