Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 3 uku. 12
  • Sikiliza Mashauri Yenye Hekima ili Upate Faida

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Sikiliza Mashauri Yenye Hekima ili Upate Faida
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Angekubaliwa na Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Namna ya Kutafuta Mashauri
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • ‘Moyo Wangu Utakuwa Pale Sikuzote’
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Mufalme Sulemani Anakamata Uamuzi Mubaya
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 3 uku. 12

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Sikiliza Mashauri Yenye Hekima ili Upate Faida

Rehoboamu alipaswa kukamata uamuzi (2Ny 10:1-4; w18.06 uku. 13 fu. 3)

Rehoboamu alitafuta shauri (2Ny 10:6-11; w01-SW 1/9 uku. 28-29)

Juu Rehoboamu hakusikiliza mashauri yenye hekima, aliteseka na watu pia waliteseka (2Ny 10:12-16; it-2-F uku. 754 fu. 5)

Mu restora, dada kijana iko nasikiliza kwa uangalifu dada mwenye kuzeeka.

Kwa sababu ya uzoefu wao, Wakristo wenye kukomaa wanaweza kuona mbele ya wakati matokeo yenye uamuzi fulani unaweza kuleta.—Yob 12:12.

UJIULIZE HIVI: ‘Mu kutaniko, nani njo anaweza kunipatia mashauri ya muzuri?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine