Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w24 Mwezi wa 5 uku. 32
  • Kuvumilia Ukosefu wa Haki

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kuvumilia Ukosefu wa Haki
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ‘Muamuzi wa Dunia Yote’ Anafanya Sikuzote Mambo Yenye Kuwa Sawa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Namna Gani ‘Ninaweza Kufanya Ubaya Huu Mukubwa?’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Yehova Iko Anakusaidia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Mutumwa Mwenye Alimutii Mungu
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
w24 Mwezi wa 5 uku. 32

PENDEKEZO JUU YA MAMBO YA KUJIFUNZA

Kuvumilia Ukosefu wa Haki

Soma Mwanzo 37:23-28; 39:17-23 juu uone namna mufano wa Yosefu unaweza kutusaidia kuvumilia ukosefu wa haki.

Chunguza habari yote. Juu ya nini walimutendea Yosefu bila haki? (Mwa. 37:3-11; 39:1, 6-10) Yosefu alivumilia ukosefu wa haki kwa muda gani? (Mwa. 37:2; 41:46) Mu ile wakati ni mambo gani yenye Yehova alimufanyia Yosefu na ni mambo gani yenye Yehova hakufanya?—Mwa. 39:2, 21; w23.01 uku. 17 fu. 13.

Ujifunze mambo mingi zaidi. Hakuna kwenye Biblia inasema kama Yosefu alijitetea wakati bibi ya Potifa alimusemea uongo. Namna gani maandiko yenye kufuata inaweza kutusaidia tuelewe sababu yenye pengine ilifanya Yosefu asijitetee, ao juu ya nini hatupaswe kutazamia kama Biblia inapaswa kuzungumuzia kila jambo, hata mambo ya kidogo-kidogo? (Mez. 20:2; Yoh. 21:25; Mdo. 21:37) Inawezekana ni sifa gani njo zilimusaidia Yosefu kuvumilia ukosefu wa haki?—Mik. 7:7; Lu. 14:11; Yak. 1:2, 3.

Unajifunza nini? Ujiulize hivi:

  • ‘Juu tuko wanafunzi wa Yesu tunaweza kutazamia kama tutatendewa bila haki mu njia gani?’’ (Lu. 21:12, 16, 17; Ebr. 10:33, 34)

  • ‘Namna gani ninaweza kujitayarisha sasa ili niweze kuvumilia ukosefu wa haki?’ (Zb. 62:7, 8; 105:17-19; w19.07 uku. 2-7)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine