Maelezo ya ku Mwisho wa Habari
^ [1] (fungu la 3) Ndugu na dada fulani hawawezi kuenda kwenye mikutano kwa ukawaida kwa sababu ya hali zenye hawawezi kuzuia. Kwa mufano, wanaweza kuwa wagonjwa sana. Lakini, wanaweza kuwa hakika kwamba Yehova anaelewa hali yao na anapendezwa sana na yote yenye wanajikaza kufanya ili kumuabudu. Wazee wa kutaniko wanaweza kusaidia ndugu na dada hao wafuate mikutano, pengine kupitia telefone ao kwa kurekodi mikutano kwa ajili yao.