Maelezo ya ku Mwisho wa Habari
^ [1] (fungu la 12) Watu wengine wenye walimaliza kukosana katika roho ya amani ni Yakobo, pamoja na Esau (Mwanzo 27:41-45; 33:1-11); Yosefu, pamoja na ndugu zake (Mwanzo 45:1-15); na Gideoni, pamoja na watu wa kabila la Efraimu (Waamuzi 8:1-3). Pengine unaweza kufikiria mifano mingine kama hiyo katika Biblia.