Maelezo ya Chini
Maneno “huyo” na “yeye” yenye yanatumiwa katika mustari wa 13 na wa 14 yanazungumuzia “musaidizi” mwenye anatajwa katika mustari wa 7. Yesu alitumia neno “musaidizi” (lenye liko na jinsia ya kiume katika Kigiriki) kwa kuzungumuzia roho takatifu kama mutu hata kama ni nguvu yenye haina utu, na katika Kigiriki haina jinsia ya kiume wala ya kike.