Maelezo ya Chini
a Hilo halimaanishi kama kila mutu anayekupinga anatumwa moja kwa moja na Shetani. Lakini Shetani ndiye mungu wa ulimwengu huu muovu, na dunia yote iko katika nguvu zake. (2 Wakorintho 4:4; 1 Yohana 5:19) Kwa hiyo, ni lazima kujua kama wengi hawatafurahia mwenendo wako unaomupendeza Mungu, na wengine hata watakupinga.