Maelezo ya Chini
c Watu wanaofasiria maneno ya Biblia wanasema kama maneno yaliyotumiwa katika Kiebrania yanaonyesha kama “aksida hiyo ni ya wote wawili, mama na mutoto.” Tena, unaposoma andiko hilo utaona kama Biblia haiseme kama hukumu ya Yehova ilitegemea muda ambao kitoto kilifanya katika tumbo la mama yake.