Maelezo ya Chini
d Agano la Sheria lilimuomba mwanamuke amutolee Mungu toleo la zambi kisha kuzaa. (Mambo ya Walawi 12:1-8) Sheria hiyo iliwakumbusha Waisraeli kwamba wanadamu wanapitisha zambi kwa watoto wao, na sheria hiyo iliwasaidia kuwa na maoni yanayofaa juu ya kuzaliwa kwa mutoto, na labda iliwasaidia wasifuate desturi za kipagani juu ya siku ya kuzaliwa.—Zaburi 51:5.