Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Amri ya kutahiriwa haikukuwa mu agano yenye Yehova alifanya pamoya na Abrahamu yenye ingali naendelea mupaka leo. Agano yenye Yehova alifanya pamoya na Abrahamu ilianza kutumika mu 1943 M.K.Y. wakati Abrahamu (mwenye aliitwa Abramu) alivuka Efrati ili kuenda Kanaani. Ile wakati Abrahamu alikuwa na miaka 75. Amri ya kutahiriwa ilitolewa miaka fulani kisha pale mu 1919 M.K.Y., wakati Abrahamu alikuwa na miaka 99.​—Mwa. 12:1-8; 17:1, 9-14; Gal. 3:17.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine