Maelezo ya Chini
b Amri ya kutahiriwa haikukuwa mu agano yenye Yehova alifanya pamoya na Abrahamu yenye ingali naendelea mupaka leo. Agano yenye Yehova alifanya pamoya na Abrahamu ilianza kutumika mu 1943 M.K.Y. wakati Abrahamu (mwenye aliitwa Abramu) alivuka Efrati ili kuenda Kanaani. Ile wakati Abrahamu alikuwa na miaka 75. Amri ya kutahiriwa ilitolewa miaka fulani kisha pale mu 1919 M.K.Y., wakati Abrahamu alikuwa na miaka 99.—Mwa. 12:1-8; 17:1, 9-14; Gal. 3:17.