Maelezo ya Chini
a Inapendeza kuona kwamba Ruthu hakutumia tu jina la cheo “Mungu,” kama vile wageni wengi wangefanya; lakini anatumia pia jina la pekee la Mungu, Yehova. Kitabu kimoja kinasema hivi: “Muandikaji anakazia kwamba kwa kufanya hivyo mwanamuke huyo mugeni ni mufuasi wa Mungu wa kweli.”—The Interpreter’s Bible.