Maelezo ya Chini
b Hiyo ilikuwa sheria ya ajabu sana, na hakukuwa sheria kama hiyo huko Moabu. Zamani katika Mashariki ya Kati, wajane walitendewa vibaya sana. Kitabu kimoja kinasema hivi: “Kisha kufiwa na bwana, kwa kawaida mujane aliwategemea watoto wake; ikiwa hakuwa na watoto, angeweza kujiuzisha kuwa mutumwa, kufanya ukahaba (ao umalaya), ao hata kufa.”