Maelezo ya Chini
a Muda mufupi kisha hapo, Yehova anamuomba Eliya amufundishe Elisha, ambaye ilisemekana baadaye kwamba ni yeye aliyekuwa ‘anamiminia Eliya maji kwenye mikono.’ (2 Fal. 3:11) Elisha alikuwa mutumishi wa Eliya, ni wazi kwamba alimusaidia nabii huyo muzee kwa kila jambo alilohitaji.