Maelezo ya Chini
c Neno lililotafsiriwa “samaki” linamaanisha “munyama mukubwa wa baharini” katika Kiebrania, ao “samaki mukubwa” katika Kigiriki. Ingawa hakuna njia ya kuhakikisha ni kiumbe gani wa baharini anayetajwa, imevumbuliwa kwamba katika Bahari ya Mediteranea kuna papa (requins) wakubwa wanaoweza kumumeza mutu muzima. Kuna papa wakubwa zaidi katika maeneo mengine. Kwa mufano, kuna papa-nyangumi (baleine-requin) anayeweza kufikia urefu wa metre 15, na hata zaidi!