Maelezo ya Chini
b Kuhusu maneno ya Shetani, kitabu kimoja chenye kuzungumuzia Biblia kinasema: “Kama vile katika habari ya jaribu la kwanza kabisa, lenye Adamu na Eva walishindwa . . . , ulizo linahusu kuchagua kati ya mapenzi ya Shetani ao mapenzi ya Mungu, ni kusema, kutolea mumoja ibada ao mwingine. Shetani anajiona kwa kiburi kuwa mungu pa nafasi ya ule Mungu mumoja tu.”