Maelezo ya Chini
b Kutumiwa kwa neno “wivu” kunaonyesha kama Yehova anaona uaminifu kwake kuwa jambo la maana sana. Tunaweza kuwazia namna bwana anaweza kusikia wivu sana wakati bibi yake haiko muaminifu kwake. (Mez. 6:34) Kama vile ule mwanaume, Yehova iko na haki ya kukasirika wakati watu wake wanaonyesha kama hawako waaminifu kwa kuabudu sanamu. Kitabu kimoja kinasema: “Wivu wa Mungu . . . unatokana na utakatifu Wake. Sababu Yeye peke yake njo Mutakatifu . . . , Hatavumilia ushindani.”—Kut. 34:14.