Maelezo ya Chini
a Ile majina iko na maana fulani. Ohola maana yake “Hema Yake [ya Ibada]”—ni wazi kama ile inahusiana na tabia ya Israeli ya kujitilia fasi zake mwenyewe za ibada kuliko kutumia hekalu la Yehova la Yerusalemu. Oholiba, kwa upande mwingine, maana yake “Hema Yangu [ya Ibada] Iko Ndani Yake.” Yerusalemu njo kwenye nyumba ya Yehova ilikuwa.