Maelezo ya Chini c Katika mwaka wa 36/37 Kaisari Tiberio alimufunga Herode Agrippa hapo, kwa sababu Herode alionyesha kwamba alitamani Caligula awe mufalme. Caligula alipokuwa mufalme alimushukuru Herode na kumufanya kuwa mutawala.—Mdo. 12:1.