Maelezo ya Chini
b Lameki alimupatia mwana wake jina la Noa, ambalo labda linamaanisha “Pumuziko; Faraja”—na alitabiri kwamba Noa angetimiza maana ya jina lake kwa kuwaongoza wanadamu kwenye pumuziko kutoka katika kazi ngumu inayoletwa na udongo uliolaaniwa. (Mwanzo 5:28, 29) Lameki alikufa bila kuona utimizo wa unabii huo.